Septemba

mwezi wa tisa katika mwaka From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Septemba ni mwezi wa tisa katika Kalenda ya Gregori. Jina lake limetokana na neno la Kilatini septem, maana yake ni "saba". Mwaka wa 153 KK, mwanzo wa mwaka ulitanguliza miezi miwili kutoka Machi kwenda Januari, na maana ya jina lake Septemba ilipotea.

Ago - Septemba - Okt
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30
Kalenda ya Gregori

Tarehe 20, mwezi huo wa Septemba, ni siku mlingano (au ikwinoksi kutoka Kiingereza equinox) ambapo jua huvuka mstari wa ikweta, na muda wa usiku na mchana unalingana duniani kote (ila maeneo ya ncha ambapo nusu ya jua hubaki chini ya upeo wa macho na nusu nyingine juu kwa siku nzima).

Septemba ina siku 30, na inaanza na siku ya juma sawa na mwezi wa Desemba.

Ukweli wa haraka
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads