Severo wa Napoli

From Wikipedia, the free encyclopedia

Severo wa Napoli
Remove ads

Severo wa Napoli (alifariki Napoli, Italia, 29 Aprili 409) alikuwa askofu wa 10 wa mji huo kuanzia Februari 363.

Thumb
Sanamu ya Mt. Severo ikitembezwa nyuma ya ile ya Mt. Severino.

Anasifiwa kwa juhudi zake za kutetea imani sahihi dhidi ya Waario pamoja na rafiki yake Ambrosi wa Milano aliyemuandikia barua[1]. Alipendwa naye kama ndugu, na kupendwa na waumini wake kama baba.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Aprili[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads