Sokwe Mtu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Remove ads
Masokwe mtu ni wanyama wakubwa wa jenasi Pan katika familia Hominidae (masokwe wakubwa). Masokwe hawa wanaishi katika maeneo ya tropiki ya Afrika.
Remove ads
Spishi
- Pan paniscus, Bonobo au Sokwe Mtu Mdogo (Bonobo au Pygmy Chimpanzee: Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo)
- Pan troglodytes, Sokwe Mtu wa Kawaida (Common Chimpanzee)
- Pan t. schweinfurthii, Sokwe Mtu Mashariki (Eastern Chimpanzee: Jamhuri ya Afrika ya Kati, Sudani, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Uganda, Rwanda, Burundi, Tanzania na Zambia)
- Pan t. troglodytes, Sokwe Mtu wa Kati (Central Chimpanzee: Kameruni, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Ginekweta, Gaboni, Jamhuri ya Kongo na Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo)
- Pan t. vellerosus, Sokwe Mtu wa Nijeria (Nigerian Chimpanzee: Nijeria na Kameruni)
- Pan t. verus, Sokwe Mtu Magharibi (Western Chimpanzee: Senegali, Mali, Gine, Sierra Leone, Liberia, Kodivaa na Ghana)
Remove ads
Picha
- Sokwe mtu wa kawaida (jike na mtoto)
- Bonobo (dume)
- Bonobo (majike)
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads