Sturmi wa Fulda

From Wikipedia, the free encyclopedia

Sturmi wa Fulda
Remove ads

Sturmi wa Fulda (Lorch, Austria, 705 hivi - Fulda, Ujerumani, 17 Desemba 779) alikuwa mmonaki Mbenedikto ambaye, baada ya kipindi cha umisionari kati ya Wasaksoni na kisha kupata upadrisho, alitumwa na askofu Bonifas mfiadini kuanzisha monasteri ya Fulda (744/747), akawa abati wake wa kwanza hadi kifo chake[1].

Thumb
Noti anamoonekana Mt. Sturmi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na wengineo kama mtakatifu. Mwaka 1139 Papa Inosenti II alithibitisha heshima hiyo.

Sikukuu yake ni tarehe ya kifo chake kila mwaka[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads