Kirukanjia wa Afrika

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kirukanjia wa Afrika
Remove ads

Virukanjia wa Afrika ni wanyama wadogo wa nusufamilia Myosoricinae katika familia Soricidae wanaofanana na vipanya, lakini virukanjia si wagugunaji (oda Rodentia). Spishi hizi zinatokea Afrika kusini kwa Sahara tu lakini hawa si spishi pekee za Afrika. Kuna spishi nyingi nyingine za virukanjia katika Afrika walio wanafamilia wa nusufamilia Crocidurinae (virukanjia meno-meupe). Hula wadudu na nyungunyungu hasa lakini mbegu na makokwa pia. Meno yao yamechongoka yenye ncha kali. Rangi yao ni nyeusi, kijivu au kahawia.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads