Tasak
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Tasak (kwa Kilatini: Assicus; Ireland, karne ya 6 - Racoon, Ireland, 590 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa Elphin, anaposemekana aliwekwa na Patrick aliyemuongoa kumuamini Yesu [1][2].


Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu, heshima iliyothibitishwa na Papa Leo XIII tarehe 19 Juni 1902.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads