Teodoriko wa Reims

From Wikipedia, the free encyclopedia

Teodoriko wa Reims
Remove ads

Teodoriko wa Reims (alifariki karibu na Reims, Ufaransa, 1 Julai 533) alikuwa padri halafu mkaapweke aliyeanzisha monasteri [1] iliyovutia wengi, akiwemo baba yake aliyekuwa jambazi.

Thumb
Mt. Teodoriko.

Hayo yote ni baada ya kumuacha mke wake kwa kuwa alikataa kuishi naye kama kaka na dada tu na kwa kufuata shauri la askofu Remi[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu[3][4].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Julai[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads