Teresa wa Yesu wa Los Andes

From Wikipedia, the free encyclopedia

Teresa wa Yesu wa Los Andes
Remove ads

Teresa wa Yesu, O.C.D. (Santiago, Chile, 13 Julai 1900 - Los Andes, Valparaiso, Chile, 12 Aprili 1920) ni jina la kitawa la Juana Fernandez Solar, bikira, mnovisi wa Wakarmeli Peku[1].

Thumb
Picha yake halisi.

Akifuata njia ya udogo iliyoelekezwa na somo wake, Teresa wa Mtoto Yesu, alipiga hatua kubwa kwa muda mfupi[2][3].

Akiwa na umri wa miaka 20 alijitoa mhanga kwa Mungu afe kwa ajili ya ulimwengu wenye dhambi akafariki kwa ugonjwa wa taifodi.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 3 Aprili 1987 halafu mtakatifu tarehe 21 Machi 1993.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 12 Aprili[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads