Theodori wa Tabennese

From Wikipedia, the free encyclopedia

Theodori wa Tabennese
Remove ads

Theodori wa Tabennese (314 hivi - 27 Aprili 367) alikuwa mwandamizi wa kiroho wa Pakomi na alizuia shirikisho la kwanza la monasteri ya Kikristo lisiishe na kifo cha huyo mwanzilishi wake[1][2].

Thumb
Picha takatifu ya Mt. Theodori wa Tabennese.

Zimebaki hotuba zake kadhaa katika maandishi ya wafuasi wake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa siku ya kifo chake[3] au tarehe 16 Mei, siku inayofuata sikukuu ya Pakomi[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads