Viatori wa Lyon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Viatori wa Lyon (alifariki Skete, 390 hivi) alikuwa msomaji wa mji huo, leo nchini Ufaransa, ambaye miaka yake ya mwisho alimfuata askofu wake Yusto wa Lyon kwenda kuishi jangwani na wamonaki wa Misri[1][2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads