Yusto wa Lyon

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yusto wa Lyon
Remove ads

Yusto wa Lyon (alifariki Skete, 390 hivi) alikuwa askofu mkuu wa 13 wa mji huo, leo nchini Ufaransa, tangu mwaka 350 hivi[1][2][3], lakini baada ya Mtaguso wa Akwileia alikwenda pamoja na msomaji Viatori kuishi kwa unyenyekevu miaka yake ya mwisho huko jangwani na wamonaki wa Misri[4][5][6].

Thumb
Sanamu yake juu ya kanisa lake mjini Lyon.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu na masalia yake na ya Viatori yalirudishwa Lyon.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Septemba[7].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads