Vikta Mauro
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Vikta Mauro (kwa Kilatini: Victor Maurus) alikuwa askari Mkristo kutoka Mauretania (katika Algeria ya leo).

Mwaka 303 BK, akiwa Milano (nchini Italia), alibomoa altare kadhaa za dini za jadi za Dola la Roma.
Kwa sababu hiyo aliteswa mbele ya Kaizari Maximian na hatimaye kuuawa pamoja na Waberberi wenzake Nabore na Feliche tarehe 12 Julai huko Lodi (Lombardia)[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na wengineo kama mtakatifu mfiadini.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo ya Kiswahili
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads