Vladimir Mkuu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Vladimir Mkuu (958 hivi – 15 Julai 1015) alikuwa mtemi wa Kiev na Novgorod kuanzia mwaka 980 hadi kifo chake.


Mwaka 988 alipokea ubatizo kutoka kwa mapadre wa Kanisa la Bizanti uliofuatwa na ubatizo wa familia na wananchi wa utemi wake aliojitahidi kwa nguvu zote kuwaleta kwenye imani ya Kikristo [1][2].
Tukio hilo liliathiri moja kwa moja utamaduni wa Urusi, Ukraina na Belarus pamoja na historia yote iliyofuata, kwa kuwa Kanisa la Kiorthodoksi liliendelea kuwa dini rasmi katika milki za Kirusi hadi Mapinduzi ya Urusi ya 1917.
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads