Waganda

From Wikipedia, the free encyclopedia

Waganda
Remove ads

Waganda (wao hujiita Baganda) ni kabila kubwa la Uganda likiwa na asilimia 16.9 za wakazi wote wa nchi hiyo.

Thumb
Bendera ya Buganda.
Thumb
Eneo la Buganda kati ya ziwa Viktoria, mto Nile na ziwa Kyoga.

Ufalme wao (Buganda) unaongozwa na mfalme anayeitwa Kabaka na unaenea katika Mkoa mzima wa Kati.

Ufalme huo ulikubali ulinzi wa Uingereza mwaka 1894 chini ya Mwanga II.

Lugha yao inaitwa Kiganda (wao wanasema: Luganda) na ni kati ya lugha za Kibantu.

Remove ads

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads