Walugbara

From Wikipedia, the free encyclopedia

Walugbara
Remove ads

Walugbara ni kabila la watu wanaoishi kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na kaskazini magharibi mwa Uganda, lakini pia kusini magharibi mwa Sudan Kusini.

Thumb
Wanawake Walugbara wakichambua karanga.
Thumb
Rais Idi Amin alizaliwa na mama Mlugbara[1]

Lugha ya wengi wao ni Kilugbara, mojawapo kati ya lugha za Kisudani[2] na dini yao ni Ukristo, lakini pia Uislamu.

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads