Wambeere

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Wambeere ni kabila la Kibantu linalokalia tangu kale kaunti ya Embu nchini Kenya. Wanakadiriwa kuwa 168,155 [1]

Lugha mama yao ni Kimbeere, mojawapo kati ya lugha za Kibantu. Wengi wao ni Wakristo.

Wana undugu wa asili na Waembu, Wakikuyu, Wameru na Wakamba.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads