We Takin' Over

From Wikipedia, the free encyclopedia

We Takin' Over
Remove ads

We Takin' Over" ni nyimbo ya hip-hop ya DJ Khaled. Nyimbo ilitoka ikiwa kama single yake ya kwanza kutoka albamu yake ya We the Best. Nyimbo imeshirikisha vichwa ngumu kama Akon, T.I., Rick Ross, Fat Joe, Birdman a.k.a "Baby" na Lil' Wayne, hao wote wameshiriki katika kukamilisha nyimbo hii.

Ukweli wa haraka Imetolewa, Muundo ...

Nyimbo ilitayarishwa na Danja. Nyimbo ilitolewa kupitia maduka ya iTunes ya Marekani kunako tarehe 27 Machi ya mwaka wa 2007 na kuthubutu kushika nafasi ya 51 katika chati za 100 bora za Billboard Hot kwa nyimbo za R&B/Hip-Hop hadi kufikia nafasi ya 28.

Ilikwenda katika chati za Billboard Hot kwa kipindi kilekile cha kutolewa kwa nyimbo - 14 Aprili 2007 na kushika nafasi ya 75, na ikaja kufikia hadi namba 26. Kwa upande wa chati za iTunes kwa nyimbo za Hip-Hop/Rap imeshika nafasi ya 12. Watu waliouza sura katika nyimbo hii alikuwa Pitbull, Junior Reid, Johnny Dang, T-Pain, Trina na Cool na Dre.[1]

Remove ads

Remix yake

  • "We Takin' Over" (Remix Rasmi) (imemshirikisha Akon, T-Pain, R. Kelly, Lil' Kim na Young Jeezy)

Chati

Maelezo zaidi Chati (2007), Nafasi Iliyoshika ...

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads