Wilaya ya Nyamagana

From Wikipedia, the free encyclopedia

Wilaya ya Nyamagana
Remove ads

Manisipaa ya Nyamagana ni wilaya mojawapo kati ya mbili zinazofanya kwa pamoja Jiji la Mwanza kwenye Mkoa wa Mwanza, nyingine ni manisipaa ya Ilemela.

Thumb
Wilaya za Jiji la Mwanza

Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 363,452 waishio humo. [1]

Misimbo ya posta katika wilaya hii inaanza kwa tarakimu 332.. .

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads