Wilibrodi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wilibrodi (kwa Kiingereza cha Kale: Willibrord; kwa Kilatini: Villibrordus;[1] 658 hivi – 7 Novemba 739) alikuwa mmonaki Mbenedikto kutoka Northumbria (Uingereza) maarufu kama "Mtume wa Wafrisia" kwa uinjilishaji wake katika Uholanzi na Udeni za leo, alipoanzisha majimbo na monasteri mbalimbali[2].


Kwa kupewa daraja na Papa Sergio I alikuwa askofu wa kwanza wa Utrecht.
Kisha kuchoshwa na kazi na umri akafariki huko Echternach (leo nchini Luxembourg) katika monasteri mojawapo aliyoianzisha.[3]
Anaheshimiwa tangu zamani na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo ya Kiswahili
Marejeo ya lugha nyingine
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads