X
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
X ni herufi ya 24 katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni piamalfabeti ya Kiswahili. Sauti yake ni "ks". Haitumiki katika mwandishi wa maneno ya Kiswahili isipokuwa kwa maneno ya kigeni.
Kati ya namba za Kiroma X humaaaisha namba 10.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads