I

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

I ni herufi ya 9 katika alfabeti ya Kilatini ambayo ni pia mwandiko wa Kiswahili cha kisasa. Asili yake ni Iota ya alfabeti ya Kigiriki.

Maelezo zaidi Alfabeti ya Kilatini, (Kwa matumizi ya Kiswahili) ...

Maana za I

Historia ya I

Maelezo zaidi Kifinisia Y (yad), Kigiriki Iota ...

Asili ya alama ni picha andishi iliyoonyesha mkono. Wafinisia walikuwa rahisihsa alama hiyo na kuiita kwa neno lao la mkono "yad" (au: yod). Wakaitumia kama alama ya sauti "y" na pia ya "i" ndefu. Wagiriki wakaipokea kama "Iota" na kurahisisha umbo lake zaidi hadi kuwa mstari tu. Wakaitumia kwa sauti ya "i".

Alama ikaendelea hivyo katika alfabeti za Waetruski na za Kilatini.

Makala hii kuhusu mambo ya elimu bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu I kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads