Ch
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ch ni alama ya tatu katika alfabeti ya Kiswahili cha kisasa inayofuata menginevyo utaratibu wa alfabeti ya Kilatini.
Ch ni maungano ya herufi mbili za Kilatini ambazo hutazamiwa kama herufi moja katika mwandiko wa Kiswahili. Kilatini chenyewe hakijui umoja huu lakini ni kawaida pia katika lugha mbalimbali
kama sauti ya "tsh"
kama sauti ya (kh)
- Kibelarus (Łacinka)
- Kicheki
- Kiholanzi
- Kijerumani
- Kipoland
- Kislovakia
Kifupi cha CH kwa magari ni alama ya gari kutoka Uswisi (Confoederatio Helvetica)
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads