Yakobo wa Nisibi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yakobo wa Nisibi
Remove ads

Yakobo wa Nisibi (alifariki Nusaybin, leo nchini Uturuki, 338) alikuwa askofu wa kwanza wa mji huo, akiongoza kwa amani kundi lake, akililisha na kulilinda dhidi ya maadui wa imani, kuanzia mwaka 309 hadi kifo chake, [1].

Thumb
Masalia yake yanapotunzwa.

Alijenga kanisa kuu, alikuwa kiongozi wa kiroho wa Efrem wa Syria na alishiriki Mtaguso wa kwanza wa Nisea (325).

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 12 Mei au 15 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads