Yohane Lloyd
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Yohane Lloyd (alifia dini karibu na Cardiff, 22 Julai 1679) alikuwa padri mwanajimbo kutoka Wales 1645 - 22 Julai 1679) alikuwa padri Mjesuiti kutoka Wales aliyeuawa na serikali ya mfalme Charles II wa Uingereza iliyokuwa imekataza Ukatoliki nchini. Alinyongwa pamoja na Filipo Evans kwa sababu ya kutoa huduma za kipadri kwao [1].

Papa Pius XI alimtangaza mwenye heri mwaka 1929 halafu Papa Paulo VI akamtangaza mtakatifu tarehe 25 Oktoba 1970.[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads