Yohane Rigby

From Wikipedia, the free encyclopedia

Yohane Rigby
Remove ads

Yohane Rigby (Eccleston, Lancashire, 1570 hivi – London, 21 Juni 1600) alikuwa Mkristo wa Uingereza ambaye, baada ya kulelewa katika Ushirika wa Anglikana alijiunga na Kanisa Katoliki.

Thumb
Mt. Yohane katika dirisha la kioo cha rangi.

Kwa sababu hiyo miaka miwili baadaye, chini ya malkia Elizabeti I alinyongwa na kuchanwa utumbo akiwa bado hai[1][2][3][4].

Alitangazwa na Papa Pius XI kuwa mwenyeheri tarehe 15 Desemba 1929, halafu na Papa Paulo VI kuwa mtakatifu mfiadini tarehe 25 Oktoba 1970.

Sikukuu yake ni tarehe 21 Juni kufuatana na kalenda rasmi ya Kanisa Katoliki[5].

Remove ads

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads