Abbas Zuberi Mtemvu
Mbunge wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Abbas Zuberi Mtemvu (alizaliwa 1 Novemba 1959) ni mbunge wa jimbo la Temeke (Mkoa wa Dar es Salaam) katika bunge la taifa la Tanzania tangu mwaka 2005.[1] Anatokea katika Chama cha Mapinduzi (CCM).[2]
Abbas Zuberi Mtemvu ni mmoja wa wanasiasa tajiri anayetajwa kama maarufu. Kulingana na utafiti wa Forbes juu ya biashara zake, thamani ya mali zake ni takribani Dola za Marekani milioni 1.5.
Tazama pia
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads