Agape na Kionia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Agape na Kionia
Remove ads

Agape na Kionia (walifariki Thesalonike, Ugiriki, 304) walikuwa akina dada mabikira Wakristo ambao kutokana na imani yao walikataa kula nyama iliyotolewa sadaka kwa miungu. Kwa ajili hiyo waliteswa wakauawa kwa kuchomwa moto wakati wa dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Feast ...

Pengine anatajwa pamoja nao ndugu yao Irene aliyeuawa siku chache baadaye[2]. Labda walitokea Aquileia (Italia)[3][4].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao ni tarehe 1 Aprili[5] au 3 Aprili.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads