Agnes wa Poitiers

From Wikipedia, the free encyclopedia

Agnes wa Poitiers
Remove ads

Agnes wa Poitiers (alifariki 586) alikuwa mwanamke wa Ufaransa ambaye alilelewa katika ikulu akawa kipenzi wa malkia Radegunda, aliyeanzisha chini ya kanuni ya Sesari wa Arles abasia huko Poitiers mwaka 557[1][2][3]. Agnes alijiunga nayo na kwa baraka ya Jermano wa Paris akawa abesi wake akaiongoza kwa upendo mkubwa hadi alipofariki dunia[4][5][6][7][8][9].

Thumb
Mt. Agnes katika dirisha la kioo cha rangi.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe 13 Mei[10].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads