Air Zimbabwe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Air Zimbabwe ni ndege ya kitaifa ya nchi ya Zimbabwe illiyo na makao yake kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Harare mjini Harare.[1] Inahudumu ndege za kwenda Afrika Kusini, Asia na London Gatwick.

Historia
Ndege hii ilianzishwa mnamo 1 Septemba 1967.[2] Ilianza kusafiri hadi London Gatwick kuanzia2 Aprili 1980. Kampuni hii inamilikiwa na serikali.


Kwa ajili ya madeni mengi, Air Zimbabwe ilitolewa kwenye kundi la IATA mnamo Februari 2004. Mnamo Aprili 2006, namba ya wasafiriwa ilishuka kutoka milioni moja (1999) hadi 230,000 (2005). Mnamo Oktoba 2006, wakati bei ya vitu ilipanda nchini Zimbabwe, Benki Kuu ya Zimbabwe ilitangaza kuwa haitaendelea kuwasaidia Air Zimbabwe pamoja na kampuni zingine zinazoleta hasara.[3]
Remove ads
Miji inayosafiria
Afrika
- Angola
- Luanda - Quatro de Fevereiro Airport
- Congo
- Kinshasa - N'Djili International Airport
- Lubumbashi - Lubumbashi International Airport
- Kenya
- Nairobi - Jomo Kenyatta International Airport
- Malawi
- Lilongwe - Lilongwe International Airport
- Afrika Kusini
- Johannesburg - Tambo International Airport
- Tanzania
- Dar es Salaam - Julius Nyerere International Airport
- Zambia
- Lusaka - Lusaka International Airport
- Zimbabwe
- Bulawayo - Joshua Mqabuko Nkomo International Airport
- Harare - Harare Airport
- Victoria Falls - Victoria Falls Airport
Asia
- Uchina
- Beijing - Beijing Capital International Airport
- Singapore
- Singapore Changi Airport
- United Arab Emirates
- Dubai - Dubai International Airport
Uropa
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads