Aldelmo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Aldelmo
Remove ads

Aldelmo, O.S.B. (pia: Ealdhelm, Aldhelmus, Althelmus, Adelelmus; Wessex, Uingereza, 639 hivi -Doulting, Somerset, Uingereza, 25 Mei 709) alikuwa mmonaki aliyepata kuwa abati wa monasteri wa Malmesbury kwa miaka 30 halafu (705) pia askofu wa kwanza wa Sherborne[1].

Thumb
Mt. Aldelmo katika kioo cha rangi huko Malmesbury.

Mtoto wa ukoo wa kifalme[2], alipata elimu kubwa kutoka kwa Adriani wa Canterbury akatunga vitabu mbalimbali[3] na hata mashairi ya Kilatini[4].

Alisaidia kupatanisha Wakristo wa Kiselti na wale wa Kanisa la Kilatini

Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi tangu zamani kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 25 Mei[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Maandishi yake na tafsiri

Vyanzo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads