Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
Remove ads

Jumuiya ya Nchi za Kiarabu ni ushirikiano wa nchi za Afrika ya Kaskazini na Asia ya Magharibi. Ilianzishwa na nchi zinazokaliwa hasa na Waarabu. Imepokea pia nchi kama Komori zisizotumia Kiarabu kama lugha rasmi.

Thumb
Nchi za Kiarabu
Thumb
Wanachama za Jumuiya ya Nchi za Kiarabu
Kijani nyeusi: wakazi wengi hutumia Kiarabu
Kijani nyeupe: maeneo ya nchi wanachama ambako wenyeji hawatumii Kiarabu kama lugha ya kwanza
kijani milia:wasemaji wa Kiarabu ni wachache; katika Jibuti, Somalia na Komori si lugha rasmi ya serikali

Nchi wanachama ni (pamoja na tarehe ya kujiunga):

Remove ads

Nchi zilizoanzisha jumuiya

Nchi zilizojiunga baadaye

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads