Benedikto wa Avignon

From Wikipedia, the free encyclopedia

Benedikto wa Avignon
Remove ads

Benedikto wa Avignon (pia: Bénézet, Benedict, Benezet, Benet, Benoît; Hermillon, Savoy, 1163 hivi - 1184) alikuwa mvulana aliyefanya kazi ya kuchunga katika maeneo ya Ufaransa Kusini Mashariki wa leo.

Thumb
Sanamu yake katika kanisa kuu la Avignon.

Kwa msaada wa Mungu aliwezesha ujenzi wa daraja muhimu juu ya mto Rhone huko Avignon[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Aprili[3].

Remove ads

Tazama pia

Marejeo ya Kiswahili

  • John Kabeya na wengine - Maisha ya Watakatifu – ed. T.M.P. Book Department – Tabora 1965, 1989, uk. 129-130

Marejeo ya lugha nyingine

  • (Kiitalia) Pierre Péano, in G. Pelliccia e G, Rocca (curr.), Dizionario degli Istituti di Perfezione (DIP), vol. IV (1977), coll. 1359-1360.

Viungo vya nje

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads