Birinus

From Wikipedia, the free encyclopedia

Birinus
Remove ads

Birinus (pia: Birin, Berin; 600 hivi – 649) alikuwa mmonaki Mfaranki aliyetumwa na Papa Honori I huko Britania akafanywa askofu wa kwanza wa Dorchester[1].

Thumb
Mt. Birinus katika dirisha la kioo cha rangi huko Dorchester Abbey.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu na kuitwa "mtume wa Wasaksoni wa Magharibi" kutokana na juhudi zake za kueneza kati yao ujumbe wa wokovu hata akafaulu kuingiza ufalme wa Wessex katika Ukristo [2].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 3 Desemba[3] au 4 Septemba.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads