Bruno wa Segni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bruno wa Segni
Remove ads

Bruno wa Segni, O.S.B. (Solero, Italia Kaskazini, 1045 hivi – Segni, Italia ya Kati, 18 Julai 1123) alikuwa padri, mmonaki, halafu askofu wa Segni na kwa muda abati wa Montecassino.[1][2][3][2]

Thumb
Mt. Bruno.
Thumb
Mchoro wa mwaka 1630 hivi ukionyesha Mt. Bruno akiongea na Papa Urban II. Ni mmoja kati ya Mapapa wanne ambao Bruno alikuwa mshauri wao.

Alishirikiana na Papa Gregori VII na Mapapa wengine watatu katika kurekebisha Kanisa na kwa ajili hiyo aliteseka sana[4].

Hata maandishi yake ya kufafanulia Biblia yanaheshimiwa sana.

Tarehe 5 Septemba 1181 Papa Lucius III alimtangaza kuwa mtakatifu.[1]

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Julai[5]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads