Bruno wa Segni
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Bruno wa Segni, O.S.B. (Solero, Italia Kaskazini, 1045 hivi – Segni, Italia ya Kati, 18 Julai 1123) alikuwa padri, mmonaki, halafu askofu wa Segni na kwa muda abati wa Montecassino.[1][2][3][2]


Alishirikiana na Papa Gregori VII na Mapapa wengine watatu katika kurekebisha Kanisa na kwa ajili hiyo aliteseka sana[4].
Hata maandishi yake ya kufafanulia Biblia yanaheshimiwa sana.
Tarehe 5 Septemba 1181 Papa Lucius III alimtangaza kuwa mtakatifu.[1]
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads