Neli gunda

From Wikipedia, the free encyclopedia

Neli gunda
Remove ads

Neli gunda (Nectarinia senegalensis) ni spishi ya ndege ya familia ya Nectariniidae. Anapatikana nchini Afrika Kusini, Angola, Benini, Botswana, Burkinafaso, Burundi, Chadi, Eritrea, Eswatini, Gambia, Ghana, Gine, Ginebisau, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Kameruni, Kenya, Kodivaa, Malawi, Mali, Moritania, Msumbiji, Namibia, Nijeri, Nijeria, Rwanda, Senegali, Siera Leoni, Sudani, Tanzania, Togo, Uganda, Uhabeshi, Zambia na Zimbabwe.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Remove ads

Marejeo

Makala hii kuhusu mnyama fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Neli gunda kama uainishaji wake wa kibiolojia, maisha au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads