Daudi Lewis

From Wikipedia, the free encyclopedia

Daudi Lewis
Remove ads

Daudi Lewis, S.J. (Abergavenny, Monmouthshire, Welisi, 1616 - Usk 27 Agosti 1679), alikuwa padri Mjesuiti aliyefanya uchungaji kwa siri muda wa miaka 30 huko Welisi (Ufalme wa Muungano)[1].

Thumb
Mt. Daudi alivyochorwa, Llantarnam Abbey.

Mtoto wa kasisi wa Jumuiya Anglikana, aliongokea Kanisa Katoliki huko Paris (Ufaransa) akasomea upadri huko Roma (Italia). Miaka mitatu baada ya kupadrishwa mwaka 1642 alijiunga na Shirika la Yesu.

Hatimaye alifia imani yake kutokana na dhuluma ya mfalme Charles II[2].

Anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini. Kwanza alitangazwa mwenye heri na Papa Pius XI mwaka 1929, halafu mtakatifu na Papa Paulo VI tarehe 25 Oktoba 1970.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads