Delta (jimbo)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Jimbo la Delta ni jimbo la Nigeria kusini. Iko kwenye eneo la delta ya mto Niger. 1991 ilianzishwa kutokana na jimbo la awali la Bendel. Mji mkuu ni Asaba lakini mji mkubwa jimboni ni Warri.

Maelezo zaidi Mahali, Faili:Nigeria-jimbo delta.png ...

Delta ni eneo lenye mafuta ya petroli lakini utajiri wake haujafika kwa wananchi bali mapato ya mafuta yalitumiwa hasa na serikali kuu kwa mambo ya kitaifa na pia ufisafi.

Hivyo Delta ya mto Niger imeona umgomvi mwingi kwa sababu wenyeji hawaridhiki tena.

Remove ads

Utawala

Delta ina wilaya 25 zinazoitwa "Local Government Areas".

  • Aniocha-North
  • Aniocha-South
  • Bomadi
  • Burutu
  • Ethiope-East
  • Ethiope-West
  • Ika-North
  • Ika-South
  • Isoko-North
  • Isoko-South
  • Ndokwa-East
  • Ndokwa-West
  • Okpe
  • Oshimili-North
  • Oshimili-South
  • Patani
  • Sapele
  • Udu
  • Ughelli-North
  • Ughelli-South
  • Ukwuani
  • Uvwie
  • Warri-North
  • Warri-South
  • Warri-South-West

Viungo vya Nje


Makala hii kuhusu maeneo ya Nigeria bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Delta (jimbo) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads