Douala

From Wikipedia, the free encyclopedia

Douala
Remove ads

Douala ni mji mkubwa wa Kamerun ukiwa na wakazi 1,338,082 (2021[1]).

Thumb
Thumb
Sanamu ya Uhuru jijini Douala.
Thumb
Douala katika ramani ya Kamerun.

Uko kilometa 24 kutoka bahari kwenye mdomo mpana wa mto Wouri unaokomea kwenye Ghuba ya Guinea ya Atlantiki. Bandari yake inaifanya kuwa kitovu cha uchumi wa Kamerun.

Wakati wa ukoloni wa Kijerumani ulikuwa mji mkuu wa Kamerun hadi mwaka 1907.

Mto Wouri

Douala ina mto Wouri.

Usafiri

Unafanyika kwa:

Dini

Ni hasa:

Bandari huru

Douala ina bandari.

Sanaa

Kazi za sanaa zinapatikana jijini.

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads