Douala
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Douala ni mji mkubwa wa Kamerun ukiwa na wakazi 1,338,082 (2021[1]).



Uko kilometa 24 kutoka bahari kwenye mdomo mpana wa mto Wouri unaokomea kwenye Ghuba ya Guinea ya Atlantiki. Bandari yake inaifanya kuwa kitovu cha uchumi wa Kamerun.
Wakati wa ukoloni wa Kijerumani ulikuwa mji mkuu wa Kamerun hadi mwaka 1907.
Mto Wouri
Douala ina mto Wouri.
- Mto Wouri
Usafiri
Unafanyika kwa:
- Kituo cha Bessengue
Dini
Ni hasa:
- Maabadi
- Msikiti wa New-Bell
Bandari huru
Douala ina bandari.
- Bandari huru
Sanaa
Kazi za sanaa zinapatikana jijini.
- Sanamu ya Uhuru
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads