Eklesio

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eklesio
Remove ads

Eklesio (karne ya 5 - Ravenna, Emilia-Romagna, Italia, 27 Julai 532/533) alikuwa askofu wa 23 wa mji huo wa Italia Kaskazini kuanzia mwaka 521 hadi kifo chake.

Thumb
Mt. Eklesio.

Alimuunga mkono Papa Yohane I katika kuvumilia ukatili wa mfalme Theodoriki Mkuu bila kubadili msimamo dhidi ya Waario[1].

Hatimaye alibaki peke yake akastawisha tena jimbo lake [2][3][4].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Julai[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads