Eldrado

From Wikipedia, the free encyclopedia

Eldrado
Remove ads

Eldrado, O.S.B. (Ambel, Ufaransa, 781 - Novalesa, Piemonte, 844) alikuwa abati wa monasteri ya Novalesa ambayo chini yake ilifikia kilele cha ustawi wake.

Thumb
Mchoro wa ukutani unaomuonyesha.

Mpenzi wa liturujia, alirekebisha taratibu za kusali Zaburi na kujenga makanisa mapya nchini Italia[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa tarehe 13 Machi [2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads