Engelbert wa Cologne

From Wikipedia, the free encyclopedia

Engelbert wa Cologne
Remove ads

Engelbert wa Cologne (pia: Engelbert II of Berg; Schloss Burg, 1185/1186 Gevelsberg, karibu na Schwelm, 7 Novemba 1225) alikuwa askofu mkuu wa Cologne, Ujerumani, ambaye alijihusisha sana na mambo ya siasa akiwa pia mtawala wa sehemu ya nchi.

Thumb
Sanamu yenye masalia ya Mt. Engelbert.

Kisha kutetea haki na uhuru wa Kanisa kwa nguvu zote, hatimaye aliuawa na ndugu yake wa ukoo[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads