Epipodi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Epipodi (alifariki Lyon, mji mkuu wa Gallia, leo nchini Ufaransa, 22 Aprili 178) alikuwa kijana Mkristo aliyekatwa kichwa katika dhuluma ya kaisari Marcus Aurelius dhidi ya Ukristo iliyosababisha mauaji makubwa katika mji huo[1].

Siku mbili baadaye rafiki yake mkuu, Aleksanda wa Lyon, aliyekamatwa pamoja naye, alisulubiwa kwa ajili ya imani.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[2][3].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads