Epipodi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Epipodi (alifariki Lyon, mji mkuu wa Gallia, leo nchini Ufaransa, 22 Aprili 178) alikuwa kijana Mkristo aliyekatwa kichwa katika dhuluma ya kaisari Marcus Aurelius dhidi ya Ukristo iliyosababisha mauaji makubwa katika mji huo[1].

Thumb
Mt. Epipodi katika dirisha la kioo cha rangi.

Siku mbili baadaye rafiki yake mkuu, Aleksanda wa Lyon, aliyekamatwa pamoja naye, alisulubiwa kwa ajili ya imani.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[2][3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads