Eustokia Calafato
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Eustokia Smeralda Calafato wa Messina, Italia (25 Machi 1434 - 20 Januari 1485).

Alikuwa mmonaki, halafu abesi katika Shirika la Mtakatifu Klara ambaye alijitahidi kwa ari sana kurudisha nidhamu asili za kitawa na kuhamasisha ufuasi wa Kristo kadiri ya Fransisko wa Asizi [1].
Alizaliwa akafariki katika mji huo. Maiti yake haijaoza.
Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mtakatifu bikira tarehe 11 Juni 1988.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads