Franka

From Wikipedia, the free encyclopedia

Franka
Remove ads

Franka (kwa Kiitalia: Franca da Vitalta au da Piacenza; Piacenza, leo nchini Italia, 1175 hivi – Pittolo, 25 Aprili 1218) alikuwa bikira wa ukoo bora aliyejiunga na monasteri ya Kibenedikto akawa abesi alipokuwa na umri wa miaka 24 [1].

Thumb
Sanamu yake.

Baadaye tena alihamia urekebisho wa Citeaux akaanzisha monasteri mbili.

Alikuwa anakesha mbele ya Mungu hata usiku kucha[2].

Alitambuliwa kuwa mtakatifu na Papa Gregori X mnamo Septemba 1273.[3]

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe ya kifo chake[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads