Hanani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Hanani (kwa Kiebrania חנני, Ḥănānî, maana yake: "YHWH amefadhili"; alizaliwa karne ya 10 KK) alikuwa nabii nchini Israeli katika karne ya 9 KK.

Alikuwa baba wa nabii Yehu na inafikiriwa kwamba waliishi kusini[1] .

Chanzo kikuu cha historia yake ni Kitabu cha pili cha Mambo ya Nyakati, sura ya 16[2] .

Kadiri ya kitabu hicho, alimlaumu mfalme wa Yuda Asa kwa kufanya agano na mfalme wa Shamu Ben-Hadad I. Kwa ajili hiyo alifungwa na Asa bila kujali malalamiko ya wafuasi wa nabii huyo.

Remove ads

Wengineo

Katika Biblia ya Kiebrania kuna watu wengine watatu wenye jina hilohilo:

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads