Hanani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Hanani (kwa Kiebrania חנני, Ḥănānî, maana yake: "YHWH amefadhili"; alizaliwa karne ya 10 KK) alikuwa nabii nchini Israeli katika karne ya 9 KK.
Alikuwa baba wa nabii Yehu na inafikiriwa kwamba waliishi kusini[1] .
Chanzo kikuu cha historia yake ni Kitabu cha pili cha Mambo ya Nyakati, sura ya 16[2] .
Kadiri ya kitabu hicho, alimlaumu mfalme wa Yuda Asa kwa kufanya agano na mfalme wa Shamu Ben-Hadad I. Kwa ajili hiyo alifungwa na Asa bila kujali malalamiko ya wafuasi wa nabii huyo.
Remove ads
Wengineo
Katika Biblia ya Kiebrania kuna watu wengine watatu wenye jina hilohilo:
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads