Hugo wa Cluny

From Wikipedia, the free encyclopedia

Hugo wa Cluny
Remove ads

Hugo wa Cluny (pia: Hugo Mkuu au wa Semur; Semur-en-Brionnais, Ufaransa, 13 Mei 1024Cluny, 28 Aprili 1109) alikuwa abati wa 4 wa monasteri ya Kibenedikto ya Cluny kwa miaka 61, kuanzia mwaka 1049 hadi kifo chake.

Thumb
Mchoro mdogo wa Mt. Hugo, kaizari Henri IV na Matilda wa Toscana.

Ni kati ya viongozi muhimu zaidi wa maisha ya kitawa katika Karne za Kati, maarufu kwa sala na huruma kwa wahitaji. Alidumisha nidhamu na kueneza Kanisa[1].

Anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu tangu alipotangazwa na Papa Kalisti II tarehe 6 Januari 1120.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Aprili[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads