Joakima wa Vedruna
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Joakima wa Vedruna (jina kamili kwa Kikatalunyaː Joaquima de Vedruna Vidal de Mas; Vic, Barcelona, Hispania, 17 Aprili 1783 - Sevilla, 28 Agosti 1854) alikuwa sista mwanzilishi wa shirika la Masista Wakarmeli wa Upendo ambalo ndani ya Kanisa Katoliki linahudumia vijana, wagonjwa na wazee waliosahaulika. Kwa sasa lina masista 2,000 hivi duniani kote[1].

Kabla ya hapo aliishi katika ndoa akazaa watoto tisa aliowalea Kikristo sana [2], lakini baada ya kufiwa mumewe alianzisha shirika hilo kwa kuvumilia aina nyingi za matatizo hadi alipofariki dunia kwa kipindupindu[3].
Papa Pius XII alimtangaza mwenye heri tarehe 19 Mei 1940, halafu Papa Yohane XXIII alimtangaza mtakatifu tarehe 12 Aprili 1959.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads