Kayafa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kayafa
Remove ads

Yosefu bin Kayafa (kwa Kiaramu: יוסף בַּר קַיָּפָא, Yosef Bar Kayafa), maarufu kama Kayafa tu (kwa Kigiriki: Καῖάφα) alikuwa kuhani mkuu wa Israeli miaka 18-36). Wakati huo aliendesha kesi ya Yesu akiwa mwenyekiti wa baraza kuu la taifa mjini Yerusalemu.

Thumb
Mchoro wa Giotto kuhusu Yesu mbele ya Kayafa.

Kabla ya hapo alihusika na njama ya kumkamata, na baadaye akahusika na jitihada za kumshinikiza liwali Ponsyo Pilato amsulubishe.

Mwaka 1990 karibu na Yerusalemu limepatikana kaburi lenye jina lake.[1].

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads