Kigaeli cha Uskoti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kigaeli cha Uskoti
Remove ads

Kigaeli cha Uskoti (kwa lugha hiyo: Gàidhlig) ni kati ya lugha za Kiselti, tawi la lugha za Kihindi-Kiulaya.[1]

Thumb
Ramani inayonyesha lugha za Kiselti zinapotumika hadi leo au zilipotumika katika karne za mwisho:      Ireland (Kieire)      Scotland (Kiskoti)      Isle of Man (Kimanksi)      Wales (Kiwelisi)      Cornwall (Kikornishi)      Brittany (Kibretoni)

Wanaoijua ni watu 60,000 hivi, hasa nchini Uskoti, lakini pia Kanada.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads