Kimanksi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kimanksi
Remove ads

Lugha ya Kimanksi (kwa lugha hiyo: Gaelg au Gailck; kwa Kiingereza: Manx) ni kati ya lugha za Kiselti, tawi la lugha za Kihindi-Kiulaya ambalo limerudi nyuma sana tangu zamani za Roma ya Kale lilipokuwa linatumika katika eneo kubwa sana la Ulaya hadi Uturuki wa leo.

Thumb
Ramani inayonyesha lugha hizo zinapotumika hadi leo au zilipotumika katika karne za mwisho:      Ireland (Kieire)      Scotland (Kiskoti)      Isle of Man (Kimanksi)      Wales (Kiwelisi)      Cornwall (Kikornishi)      Brittany (Kibretoni)

Si lugha mama ya mtu yeyote tangu mwaka 1974, lakini kuna juhudi za kuifundisha katika kisiwa cha Man, kwa hiyo watu 2,000 hivi wanaijua[1].

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads