Kimanksi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lugha ya Kimanksi (kwa lugha hiyo: Gaelg au Gailck; kwa Kiingereza: Manx) ni kati ya lugha za Kiselti, tawi la lugha za Kihindi-Kiulaya ambalo limerudi nyuma sana tangu zamani za Roma ya Kale lilipokuwa linatumika katika eneo kubwa sana la Ulaya hadi Uturuki wa leo.

Si lugha mama ya mtu yeyote tangu mwaka 1974, lakini kuna juhudi za kuifundisha katika kisiwa cha Man, kwa hiyo watu 2,000 hivi wanaijua[1].
Remove ads
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads